Surah Furqan aya 69 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُضَاعَفْ لَهُ الْعَذَابُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَيَخْلُدْ فِيهِ مُهَانًا﴾
[ الفرقان: 69]
Atazidishiwa adhabu Siku ya Kiyama, na atadumu humo kwa kufedheheka.
Surah Al-Furqan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Multiplied for him is the punishment on the Day of Resurrection, and he will abide therein humiliated -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Atazidishiwa adhabu Siku ya Kiyama, na atadumu humo kwa kufedheheka.
Na Siku ya Kiyama atapata adhabu mardufu kuliko hiyo, na atadumu Motoni kwa udhalili na unyonge.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale tulio wapa Kitabu kabla yake wanakiamini hiki.
- Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
- Wala usiufanye mkono wako kama ulio fungwa shingoni mwako, wala usiukunjue wote kabisa, utabaki ukilaumiwa
- Kwani Mwenyezi Mungu si muadilifu kuliko mahakimu wote?
- Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
- (Musa) akasema: Nilitenda hayo hapo nilipo kuwa miongoni mwa wale walio potea.
- Enyi mlio amini! Kuleni vizuri tulivyo kuruzukuni, na mumshukuru Mwenyezi Mungu, ikiwa kweli mnamuabudu Yeye
- Mfano wa makundi mawili ni kama kipofu kiziwi, na mwenye kuona na anasikia. Je, wawili
- Wewe si chochote ila ni mtu kama sisi. Basi lete Ishara ukiwa wewe ni miongoni
- Kwake yeye niongeze nguvu zangu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Furqan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Furqan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Furqan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



