Surah Sharh aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَإِنَّ مَعَ الْعُسْرِ يُسْرًا﴾
[ الشرح: 5]
Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,
Surah Ash-Sharh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For indeed, with hardship [will be] ease.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi!
Hizo ni baadhi ya neema zetu juu yako. Basi kuwa na yakini na uweza wa Mwenyezi Mtukufu, kwani pamoja na uzito upo wepesi mwingi unao kuja nao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama
- Ambao unapanda nyoyoni.
- Na tulimfunulia Musa: Toka usiku na waja wangu, na uwapigie njia kavu baharini. Usikhofu kukamatwa,
- Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.
- Kweli ikathibiti na yakabat'ilika waliyo kuwa wakiyatenda.
- Na wanapo somewa Aya zetu, wao husema: Tumesikia. Na lau tungeli penda tunge sema kama
- Na atendaye mema naye ni Muumini basi haitakataliwa juhudi yake. Na hakika Sisi tunamwandikia.
- Huambiwi ila yale yale waliyo ambiwa Mitume wa kabla yako. Hakika Mola wako Mlezi bila
- Ni kama mfano wa walio kuwa kabla yao hivi karibuni. Walionja uovu wa mambo yao.
- Basi (Malkia) alipo fika akaambiwa: Je! Kiti chako cha enzi ni kama hiki? Akasema: Kama
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sharh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sharh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sharh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers