Surah Maun aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَذَٰلِكَ الَّذِي يَدُعُّ الْيَتِيمَ﴾
[ الماعون: 2]
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Surah Al-Maun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For that is the one who drives away the orphan
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Ukitaka kumjua basi ni huyo ambaye anaye msukuma yatima kwa nguvu, na anamtumilia mabavu, na anamdhulumu,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wanao jitetea baada ya kudhulumiwa, hao hapana njia ya kuwalaumu.
- Umeona kama yeye yuko juu ya uwongofu?
- Wakasema: Wallahi! Hakika bado ungali katika upotovu wako wa zamani.
- Sema: Enyi watu! Haki imekwisha kukujieni kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Basi anaye ongoka anaongoka
- Badala ya Mwenyezi Mungu, yeye huomba kisicho mdhuru wala kumnufaisha. Huko ndiko kupotolea mbali!
- Mna nini hata hamsemi?
- Wanayumba yumba baina ya huku na huko. Huku hawako na huko hawako. Na ambaye Mwenyezi
- Hakika tumemuumba mtu katika taabu.
- Na bahari mbili haziwi sawa; haya ni matamu yenye ladha, mazuri kunywa. Na haya ni
- Basi hao watapewa ujira wao mara mbili kwa walivyo vumilia, na wakaondoa ubaya kwa wema,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers