Surah Maun aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَذَٰلِكَ الَّذِي يَدُعُّ الْيَتِيمَ﴾
[ الماعون: 2]
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Surah Al-Maun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For that is the one who drives away the orphan
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Ukitaka kumjua basi ni huyo ambaye anaye msukuma yatima kwa nguvu, na anamtumilia mabavu, na anamdhulumu,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akikunusuruni Mwenyezi Mungu hapana wa kukushindeni, na akikutupeni ni nani, basi, baada yake Yeye ataye
- Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha.
- Na watasema: Tunaiamini! Lakini wataipata wapi kutoka huko mahala mbali?
- Yeye ndiye anaye kuteremshieni maji kutoka mbinguni. Katika hayo nyinyi mnapata ya kunywa, na miti
- Hakika wanao kubali ni wale wanao sikia. Na ama wafu Mwenyezi Mungu atawafufua, na kisha
- Basi wote hao ndio wanao kimbilia katika mambo ya kheri, na ndio watakao tangulia kuyafikia.
- Kisha nyoyo zenu zikawa ngumu baada ya hayo, hata zikawa kama mawe au ngumu zaidi;
- T'AHA!
- Lazima mtapanda t'abaka kwa t'abaka!
- Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers