Surah Maun aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَذَٰلِكَ الَّذِي يَدُعُّ الْيَتِيمَ﴾
[ الماعون: 2]
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Surah Al-Maun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For that is the one who drives away the orphan
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Ukitaka kumjua basi ni huyo ambaye anaye msukuma yatima kwa nguvu, na anamtumilia mabavu, na anamdhulumu,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!
- Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.
- Na mingapi katika miji iliyo kuwa ikidhulumu tumeiteketeza, na tukawasimamisha baada yao watu wengine.
- Yenye moto wenye kuni nyingi,
- Katika Siku iliyo kuu,
- Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
- Semeni nyinyi: Tumemuamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyo teremshiwa sisi, na yaliyo teremshwa kwa Ibrahim
- Au wanazo wao khazina za rehema za Mola wako Mlezi, Mwenye nguvu, Mpaji?
- Huu ni mfano muovu kabisa wa watu wanao kanusha Ishara zetu na wakajidhulumu nafsi zao.
- Hayo ni kwa sababu walio kufuru wamefuata upotovu, na walio amini wamefuata Haki iliyo toka
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



