Surah Maun aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَذَٰلِكَ الَّذِي يَدُعُّ الْيَتِيمَ﴾
[ الماعون: 2]
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Surah Al-Maun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For that is the one who drives away the orphan
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
Ukitaka kumjua basi ni huyo ambaye anaye msukuma yatima kwa nguvu, na anamtumilia mabavu, na anamdhulumu,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hizi ni katika khabari za ghaibu tulizo kufunulia. Na hukuwa pamoja nao walipo azimia shauri
- Na wengi katika wao hawamuamini Mwenyezi Mungu pasina kuwa ni washirikina.
- Na Mwenyezi Mungu nyuma yao amewazunguka.
- Bali wanasema kama walivyo sema watu wa kwanza.
- Basi yanayo tarajiwa kwenu mkitawala ndio mfisidi katika nchi na mwatupe jamaa zenu?
- Hayo ni kwa sababu walimpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mwenye kumpinga Mwenyezi Mungu,
- Basi nitakapo mkamilisha na nikampulizia roho yangu, basi mumwangukie kumsujudia.
- Je! Mmeaminisha ya kuwa hatakudidimizeni upande wowote katika nchi kavu, au kwamba hatakuleteeni tufani la
- Na ili mumwombe msamaha Mola wenu Mlezi, kisha mtubie kwake. Atakustarehesheni starehe nzuri mpaka muda
- Hakika Sisi tumewaandalia makafiri minyororo na pingu na Moto mkali.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers