Surah Al Hashr aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Hashr aya 1 in arabic text(The Mustering).
  
   

﴿سَبَّحَ لِلَّهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۖ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ
[ الحشر: 1]

Vinamsabihi, Vinamtakasa Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na viliomo katika ardhi. Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

Surah Al-Hashr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Whatever is in the heavens and whatever is on the earth exalts Allah, and He is the Exalted in Might, the Wise.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Vinamsabihi, Vinamtakasa Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na viliomo katika ardhi. Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.


Vitu vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi vinamtakasa Mwenyezi Mungu na kila lisio laiki naye. Na Yeye ndiye Mwenye kushinda ambaye hashindwi na kitu. Mwenye hikima katika mipango yake na vitendo vyake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Al Hashr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Haitakuwa ila ukelele mmoja tu, mara wote watahudhuruishwa mbele yetu.
  2. Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
  3. Mola Mlezi wa mashariki na magharibi, hapana mungu isipo kuwa Yeye, basi mfanye kuwa Mtegemewa
  4. Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.
  5. Na watakao kuja na uovu, basi zitasunukishwa nyuso zao Motoni. Je! Kwani mnalipwa isipo kuwa
  6. Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
  7. Ndio kama hivyo tunavyo zipambanua Ishara, kwa kutaraji kuwa watarejea.
  8. Na wala hawakumhishimu Mwenyezi Mungu kama anavyo stahiki kadiri yake. Na Siku ya Kiyama ardhi
  9. Mwenyezi Mungu amewatengenezea Bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
  10. (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Hashr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Hashr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Hashr Complete with high quality
Surah Al Hashr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Hashr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Hashr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Hashr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Hashr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Hashr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Hashr Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Hashr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Hashr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Hashr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Hashr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Hashr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Hashr Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Hashr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Hashr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, August 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers