Surah Maarij aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مِّنَ اللَّهِ ذِي الْمَعَارِجِ﴾
[ المعارج: 3]
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[It is] from Allah, owner of the ways of ascent.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
Kwani hiyo inatoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu, ambako huko ndiko zinatoka nguvu zinazo simama, na hukumu inayo tekelezwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ukichelea khiana kwa watu fulani basi watupilie ahadi yao kwa usawa. Hakika Mwenyezi Mungu
- Sema: Enyi watu! Hakika mimi ni Mtume kwenu nyinyi nyote, niliye tumwa na Mwenyezi Mungu
- Matunda yake yakaribu.
- Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
- Na hakika haya ni ukumbusho kwako na kwa kaumu yako. Na mtakuja ulizwa.
- Na ikiwa watakuasi basi sema: Mimi najitenga mbali na hayo mnayo yatenda.
- Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
- Na wale wasio mwomba mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu, wala hawaui nafsi aliyo iharimisha
- Na wamechukua badala yake miungu ambayo haiumbi chochote, bali hiyo inaumbwa, haijimilikii nafsi zao madhara
- Hakina madhara, wala hakiwaleweshi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers