Surah Maarij aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Maarij aya 1 in arabic text(The Ways of Ascent).
  
   

﴿سَأَلَ سَائِلٌ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ﴾
[ المعارج: 1]

Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,

Surah Al-Maarij in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


A supplicant asked for a punishment bound to happen


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea!


Ameita, mwenye kuita, kuhimiza kama kufanya kejeli, iletwe upesi adhabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambayo hapana shaka itawashukia makafiri.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Maarij


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sisi hatukusikia haya katika mila hii ya mwisho. Haya si chochote ila ni uzushi tu.
  2. Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walio amini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui.
  3. Wakasema: Ewe Hud! Hujatuletea dalili wazi. Wala sisi hatuiachi miungu yetu kwa kufuata kauli yako.
  4. Na mwenye kumkhofia muusiaji kwenda kombo au kupata dhambi akasuluhisha baina yao, basi hatakuwa na
  5. Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu
  6. Ewe Nabii! Waambie wake zako: Ikiwa mnataka maisha ya dunia na pambo lake, basi njooni,
  7. Wala usidhani Mwenyezi Mungu ameghafilika na wanayo yafanya madhaalimu. Hakika Yeye anawaakhirisha tu mpaka siku
  8. Alipo pelekewa jioni farasi wasimamao kidete, tayari kutoka shoti;
  9. Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume
  10. Lakini waliikanusha Haki ilipo wajia; kwa hivyo wamo katika mambo ya mkorogo.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Surah Maarij Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Maarij Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Maarij Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Maarij Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Maarij Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Maarij Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Maarij Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Maarij Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Maarij Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Maarij Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Maarij Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Maarij Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Maarij Al Hosary
Al Hosary
Surah Maarij Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Maarij Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, December 3, 2025

Please remember us in your sincere prayers