Surah Maarij aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سَأَلَ سَائِلٌ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ﴾
[ المعارج: 1]
Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
A supplicant asked for a punishment bound to happen
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea!
Ameita, mwenye kuita, kuhimiza kama kufanya kejeli, iletwe upesi adhabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambayo hapana shaka itawashukia makafiri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Hebu nini amri yenu, enyi wajumbe?
- Kisha tukawatimizia miadi, na tukawaokoa wao na tulio wataka, na tukawateketeza walio pita mipaka.
- Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
- Anadhani mtu kuwa Sisi hatutaikusanya mifupa yake?
- Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa
- Na hatuwatumi Mitume ila wawe wabashiri na waonyaji. Na walio kufuru wanabishana kwa uwongo, ili
- Lakini Yeye Mwenyezi Mungu ndiye Mola wangu Mlezi. Wala simshirikishi na yeyote.
- Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
- Na wale walio fuata dini ya Kiyahudi tumewaharimishia kila mwenye kucha. Na katika ng'ombe na
- Na walio kuja baada yao wanasema: Mola wetu Mlezi! Tughufirie sisi na ndugu zetu walio
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب