Surah Maarij aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سَأَلَ سَائِلٌ بِعَذَابٍ وَاقِعٍ﴾
[ المعارج: 1]
Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
A supplicant asked for a punishment bound to happen
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea!
Ameita, mwenye kuita, kuhimiza kama kufanya kejeli, iletwe upesi adhabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambayo hapana shaka itawashukia makafiri.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wanapo somewa Qur'ani hawasujudu?
- Na wale walio amini na wakatenda mema tutawaingiza katika Pepo zipitazo mito kati yake kwa
- Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
- Na humo tuliwaandikia ya kwamba roho kwa roho, na jicho kwa jicho, na pua kwa
- Basi msujudieni Mwenyezi Mungu, na mumuabudu.
- Na kwa hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni.
- Na usiku pia mtakase, na zinapo kuchwa nyota.
- Yawaje basi itakapo fika roho kwenye koo,
- Na kundi moja katika miongoni mwao lilipo sema: Enyi watu wa Yathrib! Hapana kukaa nyinyi!
- Sifa zote njema ni za Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na ardhi, aliye wafanya Malaika
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



