Surah Yusuf aya 106 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُم بِاللَّهِ إِلَّا وَهُم مُّشْرِكُونَ﴾
[ يوسف: 106]
Na wengi katika wao hawamuamini Mwenyezi Mungu pasina kuwa ni washirikina.
Surah Yusuf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And most of them believe not in Allah except while they associate others with Him.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wengi katika wao hawamuamini Mwenyezi Mungu pasina kuwa ni washirikina.
Na kati yao wapo wenye kumsadiki Mwenyezi Mungu, wanamkubali kuwa ni Mola Mlezi, na kwamba Yeye ni Muumba wa kila kitu. Lakini imani ya wengi wao haikusimama juu ya msingi madhubuti wa Tawhid! Basi hawaukubali Upweke wa Mwenyezi Mungu kwa njia ya usafi. Lakini katika nafsi zao umo mchanganyiko wa imani unao wapelekea katika njia za washirikina, mapagani.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
- Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.
- Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi
- Hautakifikia upotovu mbele yake wala nyuma yake. Kimeteremshwa na Mwenye hikima, Msifiwa.
- La! Hapana pa kukimbilia!
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
- Na walio amini na wakatenda mema, kwa yakini tutawafutia makosa yao, na tutawalipa bora ya
- Na wapigie mfano wa maisha ya dunia. Hayo ni kama maji tunayo yateremsha kutoka mbinguni,
- Ama mwenye kutoa na akamchamngu,
- Na Mola wako Mlezi anayajua yaliyo ficha vifua vyao, na wanayo yatangaza.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers