Surah Shams aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَدْ خَابَ مَن دَسَّاهَا﴾
[ الشمس: 10]
Na hakika amekhasiri aliye iviza.
Surah Ash-Shams in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And he has failed who instills it [with corruption].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hakika amekhasiri aliye iviza.
Na hakika amekhasiri mwenye kuzificha fadhila zake, na akayaua matayarisho aliyo umbwa nayo ya kutenda kheri.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tukawafuatishia laana katika dunia hii, na Siku ya Kiyama watakuwa miongoni mwa wanao chusha.
- Lau kuwa hawa ni miungu, wasingeli ingia. Na wote watadumu humo.
- Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
- Kisha baada yao tukaanzisha kizazi kingine.
- Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
- Kisha tukawaangamiza wale wengineo.
- Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
- Hakika Malaika watawaambia wale ambao wamewafisha nao wamejidhulumu nafsi zao: Mlikuwa vipi? Watasema: Tulikuwa tunaonewa.
- Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa walio onywa.
- Juu yake wapo kumi na tisa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shams with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shams mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shams Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



