Surah Al Isra aya 100 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Isra aya 100 in arabic text(The Night Journey).
  
   
ayat 100 from Surah Al-Isra

﴿قُل لَّوْ أَنتُمْ تَمْلِكُونَ خَزَائِنَ رَحْمَةِ رَبِّي إِذًا لَّأَمْسَكْتُمْ خَشْيَةَ الْإِنفَاقِ ۚ وَكَانَ الْإِنسَانُ قَتُورًا
[ الإسراء: 100]

Sema: Lau kuwa nyinyi mnazimiliki khazina za rehema za Mola wangu Mlezi, basi hapana shaka mngeli zuia kuzitumia kwa ajili ya kukhofu. Na mwanaadamu tangu hapo tabia yake ni mchoyo!

Surah Al-Isra in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say [to them], "If you possessed the depositories of the mercy of my Lord, then you would withhold out of fear of spending." And ever has man been stingy.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Lau kuwa nyinyi mnazimiliki khazina za rehema za Mola wangu Mlezi, basi hapana shaka mngeli zuia kuzitumia kwa ajili ya kukhofu. Na mwanaadamu tangu hapo tabia yake ni mchoyo!.


Waambie hawa washirikina: Lau kuwa mnazimiliki riziki za Mola wangu Mlezi, mngeli zifanyia ubakhili kwa kuogopa ufakiri. Kwani ni tabia ya watu kuwa na pupa na ubakhili. Na Mwenyezi Mungu, Mkwasi na Karimu, humpa anacho taka amtakaye, na huteremsha miujiza aitakayo Yeye, sio waitakayo watu. Na Yeye katika yote hayo ni Mwenye hikima na Mjuzi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 100 from Al Isra


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wewe huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na humtoa hai kutokana na
  2. Na wale wanao waudhi Waumini wanaume na wanawake pasina wao kufanya kosa lolote, bila ya
  3. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika
  4. Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,
  5. Kisha mligeuka baada ya haya. Na lau kuwa si fadhila za Mwenyezi Mungu juu yenu
  6. Sema: Hao wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa.
  7. Basi tukamshika yeye na majeshi yake, na tukawatupa baharini. Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa
  8. Na kaumu ngapi tuliziangamiza zilizo kuwa na mapambo mazuri zaidi na wazuri zaidi kwa kuwatazama!
  9. Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.
  10. Enyi waja wangu! Hamtakuwa na khofu siku hiyo, wala hamtahuzunika.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Surah Al Isra Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Isra Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Isra Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Isra Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Isra Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Isra Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Isra Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Al Isra Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Isra Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Isra Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Isra Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Isra Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Isra Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Isra Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Isra Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب