Surah Assaaffat aya 101 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَبَشَّرْنَاهُ بِغُلَامٍ حَلِيمٍ﴾
[ الصافات: 101]
Basi tukambashiria mwana aliye mpole.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So We gave him good tidings of a forbearing boy.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi tukambashiria mwana aliye mpole.
Malaika wakampa bishara ya kwamba atapata mwana atakaye pambwa kwa akili na upole.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku ambayo mtu atakumbuka aliyo yafanya,
- Hakika pamoja na uzito upo wepesi.
- Na Musa akasema: Mimi najikinga kwa Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi anilinde na
- Hayo ni kwa sababu waliyachukia aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, basi akaviangusha vitendo vyao.
- Hii basi ndiyo Jahannamu mliyo kuwa mkiahidiwa.
- Ameziumba mbingu na ardhi kwa Haki. Ametukuka na wanayo shirikisha.
- Na kwa siku iliyo ahidiwa!
- Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.
- Basi wachawi wakaangushwa wanasujudu. Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa Harun na Musa!
- Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



