Surah Shuara aya 226 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنَّهُمْ يَقُولُونَ مَا لَا يَفْعَلُونَ﴾
[ الشعراء: 226]
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that they say what they do not do? -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwamba wao husema wasiyo yatenda?
Na kwamba wao husema kwa ndimi zao wasio yaambatisha na vitendo vyao?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mali yangu hayakunifaa kitu.
- Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea.
- Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?
- Na tukamwachia (sifa njema) kwa watu walio kuja baadaye.
- Shuaibu alipo waambia: Je! Hamfanyi mkamchamngu?
- Wala wasidhani wale ambao wanafanya ubakhili katika aliyo wapa Mwenyezi Mungu katika fadhila zake kuwa
- Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu;
- Na wamemwekea sehemu Mwenyezi Mungu katika mimea na wanyama alio umba, nao husema: Hii ni
- Hakika Sisi tumekuteremshia Qur'ani kidogo kidogo.
- Wala wasidhanie wale walio kufuru kwamba wao wametangulia mbele. La, wao hawatashinda.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



