Surah Assaaffat aya 112 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Assaaffat aya 112 in arabic text(Those Who Set The Ranks).
  
   

﴿وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِّنَ الصَّالِحِينَ﴾
[ الصافات: 112]

Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.

Surah As-Saaffat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We gave him good tidings of Isaac, a prophet from among the righteous.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.


Na kwa amri yetu, Malaika walimbashiria kuwa ataruzukiwa mwana, Is-haqa juu ya kukata tamaa na kuwa mkewe ni tasa. Na kwamba yeye hakika atakuwa Nabii miongoni mwa walio wema.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 112 from Assaaffat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ni vyake viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujitosha
  2. Siku watakapo sikia ukelele wa haki. Hiyo ndiyo siku ya kufufuka.
  3. Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
  4. Jueni kwamba Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye
  5. Akasema: Hao wapo nyuma yangu wananifuatia. Na nimefanya haraka kukujia, Mola wangu Mlezi, ili uridhike.
  6. Na tungeli taka tungeli peleka katika kila mji Mwonyaji.
  7. Na wajumbe wetu walimjia Ibrahim kwa bishara njema, wakasema: Salama! Naye akasema: Salama! Hakukaa ila
  8. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa
  9. Muhuri wake ni miski. Na katika hayo washindanie wenye kushindana.
  10. Kwa yakini tumeteremsha Ishara zinazo bainisha. Na Mwenyezi Mungu hummwongoa amtakaye kwenye Njia Iliyo Nyooka.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Surah Assaaffat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Assaaffat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Assaaffat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Assaaffat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Assaaffat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Assaaffat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Assaaffat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Assaaffat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Assaaffat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Assaaffat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Assaaffat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Assaaffat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Assaaffat Al Hosary
Al Hosary
Surah Assaaffat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Assaaffat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, March 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers