Surah Assaaffat aya 124 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذْ قَالَ لِقَوْمِهِ أَلَا تَتَّقُونَ﴾
[ الصافات: 124]
Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When he said to his people, "Will you not fear Allah?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?.
Ilyas alipo waambia watu wake, nao walikuwa wakiyaabudu masanamu yao: Je! Mnaendelea juu ya makosa yenu, na wala hamumkhofu Mwenyezi Mungu mkajikinga na adhabu yake?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
- Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
- Na wanapo somewa Aya zetu zilizo wazi, walio kufuru huwaambia walio amini: Lipi katika makundi
- Mpaka tulipo wafungulia mlango wa adhabu kali, hapo ndipo wakawa wenye kukata tamaa.
- Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala,
- Akasema: Ikamate, wala usiogope! Tutairudisha hali yake ya kwanza.
- Na tumeiumbia Jahannamu majini wengi na watu. Wana nyoyo, lakini hawafahamu kwazo. Na wana macho,
- Na nyama za ndege kama wanavyo tamani.
- Wanajua hali ya dhaahiri ya maisha ya dunia, na wameghafilika na Akhera.
- Mbele yangu haibadilishwi kauli, wala Mimi siwadhulumu waja wangu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers