Surah Jinn aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jinn aya 14 in arabic text(The Jinn - The Spirits).
  
   

﴿وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا
[ الجن: 14]

Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.

Surah Al-Jinn in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And among us are Muslims [in submission to Allah], and among us are the unjust. And whoever has become Muslim - those have sought out the right course.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.


Na hakika kati yetu wapo Waislamu wenye kuikubali Haki, na miongoni mwetu wapo wenye kuiacha njia ya uwongofu. Basi wenye kusilimu hao wameifuata njia ya Haki, na ni wenye kufanya jitihada katika kuikhiari njia hiyo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from Jinn


Ayats from Quran in Swahili

  1. Yusuf akasema: Nifanye mshika khazina za nchi. Kwani hakika mimi ni mlinzi mjuzi.
  2. Na hakika yeye aliwaonya adhabu yetu; lakini wao waliyatilia shaka hayo maonyo.
  3. Hayo ni kwa sababu wamemuasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu
  4. (Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii.
  5. Mnaona ajabu kukufikieni mawaidha yanayo toka kwa Mola wenu Mlezi kwa mtu aliye mmoja wenu
  6. Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo
  7. Lakini Shet'ani alimtia wasiwasi, akamwambia: Ewe Adam! Nikujuulishe mti wa kuishi milele na ufalme usio
  8. Ewe Mtume! Wasikuhuzunishe wa fanyao haraka kukufuru, miongoni mwa wanao sema kwa vinywa vyao: Tumeamini,
  9. Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu?
  10. Ambao wamekanusha Kitabu na yale tuliyo watuma Mitume wetu. Basi watakuja jua.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Surah Jinn Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jinn Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jinn Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jinn Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jinn Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jinn Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jinn Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Jinn Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jinn Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jinn Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jinn Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jinn Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jinn Al Hosary
Al Hosary
Surah Jinn Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jinn Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, January 30, 2026

Please remember us in your sincere prayers