Surah Jinn aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَمَّا الْقَاسِطُونَ فَكَانُوا لِجَهَنَّمَ حَطَبًا﴾
[ الجن: 15]
Na ama wanao acha haki, hao watakuwa kuni za Jahannamu.
Surah Al-Jinn in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But as for the unjust, they will be, for Hell, firewood.'
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ama wanao acha haki, hao watakuwa kuni za Jahannamu.
Ama majeuri walio iacha njia ya Uislamu basi hao watakuwa ndio kuni za Jahannamu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?
- Na milima ikaondolewa,
- Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.
- Na utuokoe kwa rehema yako na watu makafiri.
- Na ni vya Mwenyezi Mungu tu vyote vilivyo fichikana katika ardhi na mbingu, na mambo
- Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
- Hawatausikia mvumo wake, na wao watadumu katika yale zinayo yatamani nafsi zao.
- (Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula
- Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
- Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers