Surah Shuara aya 146 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَتُتْرَكُونَ فِي مَا هَاهُنَا آمِنِينَ﴾
[ الشعراء: 146]
Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Will you be left in what is here, secure [from death],
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Mtaachwa salama usalimina katika haya yaliyopo hapa?
Lilio wazuia ni kule kuamini kwao kwamba ati wataselelea katika zile starehe, watasalimika na adhabu, na kutoweka, na mauti,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
- Enyi mlio amini! Mnapo nong'ona msinong'one kwa sababu ya mambo ya madhambi, na uadui, na
- Nawe unaukaa Mji huu.
- Na akaliwafiki lilio jema,
- Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
- Na ngamia wa sadaka tumekufanyieni kuwa ni kudhihirisha matukuzo kwa Mwenyezi Mungu; kwa hao mna
- Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi. Hakika tetemeko la Saa (ya Kiyama) ni jambo kuu.
- Anaye kufuru basi ukafiri wake utakuwa juu yake mwenyewe, na anaye tenda mema, basi wanazitengezea
- Akasema: Niliona wasiyo yaona wao, nikashika gao katika unyao wa Mtume. Kisha nikalitupa. Na hivi
- Na Mwenyezi Mungu anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers