Surah Yunus aya 56 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿هُوَ يُحْيِي وَيُمِيتُ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ﴾
[ يونس: 56]
Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa.
Surah Yunus in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He gives life and causes death, and to Him you will be returned
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa
Na Mwenyezi Mungu Subhanahu anavihuisha vitu baada ya kuwa havipo, na anaviondoa baada ya kuwapo. Na kwake Yeye tu ndio marejeo katika Akhera. Na mwenye kuwa hivyo hapana kuu la kumshinda.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.
- Na hakika watu wa Kichakani walikuwa wenye kudhulumu.
- Amemfundisha aliye mwingi wa nguvu,
- Na nilipo wafunulia Wanafunzi kwamba waniamini Mimi na Mtume wangu, wakasema: Tumeamini na shuhudia kuwa
- Hawataweza kuwasaidia. Bali hao ndio watakuwa askari wao watakao hudhurishwa.
- Ataambiwa: Soma kitabu chako! Nafsi yako inakutosha leo kukuhisabu.
- Hatukukunjulia kifua chako?
- Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu -
- Na hakika Mimi ni Mwingi wa Kusamehe kwa anaye tubia, na akaamini, na akatenda mema,
- Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers