Surah Jinn aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَن لَّوِ اسْتَقَامُوا عَلَى الطَّرِيقَةِ لَأَسْقَيْنَاهُم مَّاءً غَدَقًا﴾
[ الجن: 16]
Na lau kama wangeli simama sawasawa juu ya njia tungeli wanywesha maji kwa wingi,
Surah Al-Jinn in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [Allah revealed] that if they had remained straight on the way, We would have given them abundant provision
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na lau kama wangeli simama sawasawa juu ya njia tungeli wanywesha maji kwa wingi,
Na hakika lau kuwa watu na majini wakifuata Njia ya Uislamu, wala wasende upogo wakaiwacha, basi bila ya shaka tutawanywesha maji mengi yatakayo enea nyakati za haja.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naye ndiye aliye zipeleka bahari mbili, hii tamu mno, na hii ya chumvi chungu. Na
- Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.
- Je, watu wa mijini wameaminisha ya kuwa adhabu yetu haitawafika usiku, nao wamelala?
- Basi usimdhanie Mwenyezi Mungu kuwa ni mwenye kuwavunjia ahadi yake Mitume wake. Hakika Mwenyezi Mungu
- Na inapo mgusa kheri huizuilia.
- Hichi ndicho kipawa chetu. Basi toa au zuia, bila ya hisabu.
- Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu saba na Mola Mlezi wa A'rshi Kuu?
- Katika mabustani na chemchem,
- Sema: Ataihuisha huyo huyo aliye iumba hapo mara ya mwanzo. Na Yeye ni Mjuzi wa
- Na hakika hutapata kiu humo wala hutapata joto.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



