Surah Insan aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيُطَافُ عَلَيْهِم بِآنِيَةٍ مِّن فِضَّةٍ وَأَكْوَابٍ كَانَتْ قَوَارِيرَا﴾
[ الإنسان: 15]
Na watapitishiwa vyombo vya fedha na vikombe vya vigae,
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And there will be circulated among them vessels of silver and cups having been [created] clear [as glass],
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na watapitishiwa vyombo vya fedha na vikombe vya vigae,
Na wakiwazungukia watumishi wao kwa bilauri za kunywea zilio fanywa kwa fedha, lakini unaona kiliomo ndani kama kwamba ni kigae,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ama walio amini na wakatenda mema watafurahishwa katika Bustani.
- Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke!
- Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume
- Na wanapo somewa Qur'ani hawasujudu?
- Na kwa hakika walifanya vitimbi vyao, na vitimbi vyao anavijua Mwenyezi Mungu. Wala vitimbi vyao
- Bali muabudu Mwenyezi Mungu tu, na uwe miongoni mwa wenye kushukuru.
- Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye
- Na walikaa katika pango lao miaka mia tatu, na wakazidisha tisa.
- Na hayo tuliyo kufunulia kutoka Kitabuni ni Kweli yenye kusadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Hakika
- Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers