Surah Shams aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَا يَخَافُ عُقْبَاهَا﴾
[ الشمس: 15]
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
Surah Ash-Shams in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And He does not fear the consequence thereof.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
Wala Yeye Mwenyezi Mungu hakhofu matokeo ya adhabu hiyo, kwani hiyo ni malipo ya haki kwa yale waliyo yatenda.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika wanao mwogopa Mola wao Mlezi kwa ghaibu, watapata maghfira na ujira mkubwa.
- Nawapewe mafakiri walio zuilika katika njia za Mwenyezi Mungu, wasio weza kusafiri katika nchi kutafuta
- Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na
- Wamevifanya viapo vyao ni kinga, na wao wakajizuia kuifuata Njia ya Mwenyezi Mungu. Hakika ni
- Na aliye ileta Kweli na akaithibitisha - hao ndio wachamngu.
- Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,
- Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
- Wanakuuliza wamehalalishiwa nini? Sema: Mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri na mlicho wafundisha wanyama kukiwinda. Mnawafundisha alivyo
- Na hakika tulikwisha watumia Mitume mataifa ya mwanzo.
- Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shams with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shams mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shams Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



