Surah Shams aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Shams aya 14 in arabic text(The Sun).
  
   

﴿فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمْدَمَ عَلَيْهِمْ رَبُّهُم بِذَنبِهِمْ فَسَوَّاهَا﴾
[ الشمس: 14]

Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.

Surah Ash-Shams in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But they denied him and hamstrung her. So their Lord brought down upon them destruction for their sin and made it equal [upon all of them].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.


Wakamkadhibisha Mtume wao katika hilo onyo lake, wakamchinja. Mola wao Mlezi akazibomoa nyumba zao kwa sababu ya dhambi zao; akazisawazisha na ardhi!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 14 from Shams


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na ambao wanafanya uchafu miongoni mwa wanawake wenu, washuhudizieni watu wane katika nyinyi. Watakapo shuhudia,
  2. Na walio kufuru waliwaambia walio amini: Fuateni njia yetu, nasi tutayabeba makosa yenu. Wala wao
  3. Na vivi hivi tumemfanyia kila Nabii adui miongoni mwa wakosefu, na Mola wako Mlezi anatosha
  4. Ambaye atauingia Moto mkubwa.
  5. Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia.
  6. Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. Utatoka mweupe pasipo kuwa na madhara yoyote. Hiyo ni
  7. Je! Hazikukufikieni khabari za walio kabla yenu? Kaumu ya Nuhu, na A'adi, na Thamud, na
  8. Katika makalio ya haki kwa Mfalme Mwenye uweza.
  9. Je! Hawatembei katika ardhi ili wapate kuwa na nyoyo zao za kuzingatia, au masikio ya
  10. Kuleni katika vitu vizuri hivyo tulivyo kuruzukuni, wala msiruke mipaka katika hayo, isije ikakushukieni ghadhabu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Shams with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Shams mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shams Complete with high quality
Surah Shams Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Shams Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Shams Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Shams Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Shams Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Shams Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Shams Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Shams Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Shams Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Shams Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Shams Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Shams Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Shams Al Hosary
Al Hosary
Surah Shams Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Shams Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, April 3, 2026

Please remember us in your sincere prayers