Surah Mursalat aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ﴾
[ المرسلات: 43]
Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Being told], "Eat and drink in satisfaction for what you used to do."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
Wataambiwa kwa kuamkiwa na kukirimiwa: Kuleni na mnywe chakula na vinywaji kwa starehe kwa sababu ya vitendo vyema mlivyo kuwa mkivitenda duniani.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
- Basi tukamtolea fidia kwa dhabihu mtukufu.
- Ama atakaye pewa daftari lake kwa mkono wa kulia,
- Wakasema: Ikiwa huachi, ewe Nuhu, bila ya shaka utapigwa mawe.
- Na nini hicho kilichomo mkononi mwako wa kulia, ewe Musa?
- Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
- Akasema: Hivyo mnaviabudu vitu mnavyo vichonga wenyewe?
- Akijiona katajirika.
- Na nyinyi mtakuwa namna tatu:-
- Na inapo mgusa kheri huizuilia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



