Surah Assaaffat aya 162 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا أَنتُمْ عَلَيْهِ بِفَاتِنِينَ﴾
[ الصافات: 162]
Hamwezi kuwapoteza
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
You cannot tempt [anyone] away from Him
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hamwezi kuwapoteza.
Enyi makafiri! Hakika nyinyi, na hao mnao waabudu badala ya Mwenyezi Mungu - Nyinyi kwa kuwaabudu kwenu badala yake Yeye, hamtampoteza yeyote kwa upotovu wenu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ama wanao acha haki, hao watakuwa kuni za Jahannamu.
- Nyinyi - ulipo kusibuni msiba ambao nyinyi mmekwisha watia mara mbili mfano wa huo -
- (Mwenyezi Mungu) aseme: Msigombane mbele yangu. Nilikuleteeni mbele onyo langu.
- Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.
- Na wanamfanyia katika waja wake fungu. Kwa hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila aliye dhaahiri.
- Na tuliwajaalia dhuriya zake ndio wenye kubakia.
- Sawa sawa kwao, ukiwatakia maghfira au hukuwatakia maghfira, Mwenyezi Mungu hatawaghufiria. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi
- Wakasema nao wamewakabili: Kwani mmepoteza nini?
- Umeona kama yeye yuko juu ya uwongofu?
- Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers