Surah Al Balad aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ كَانَ مِنَ الَّذِينَ آمَنُوا وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا بِالْمَرْحَمَةِ﴾
[ البلد: 17]
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
Surah Al-Balad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And then being among those who believed and advised one another to patience and advised one another to compassion.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
Tena awe pamoja na hayo miongoni mwa wenye Imani wanao usiana na wenzao kwa subira na kuoneana huruma.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Haya haya tuliahidiwa sisi na baba zetu zamani. Hayakuwa haya ila ni hadithi za uwongo
- (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
- Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
- Katika mabustani, na chemchem?
- Akasema: Sikukwambia hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami?
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watayo fufuliwa viumbe.
- Na hakika Sisi ni waweza wa kukuonyeshsa tuliyo waahidi.
- Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.
- Na wenye kumt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume, hao wa pamoja na wale alio waneemesha Mwenyezi
- Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Balad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Balad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Balad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



