Surah Assaaffat aya 171 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ سَبَقَتْ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا الْمُرْسَلِينَ﴾
[ الصافات: 171]
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Our word has already preceded for Our servants, the messengers,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
Ninaapa! Hukumu yetu kwa Mitume tulio watuma imekwisha tolewa mbele, ya kwamba ushindi na matokeo mema ni yao wao dhidi ya makafiri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
- Mwenyezi Mungu ni Mpole kwa waja wake. Humruzuku ampendaye. Naye ni Mwenye nguvu, Mtukufu.
- Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
- Na Musa alipo waambia watu wake: Hakika Mwenyezi Mungu anakuamrisheni mchinje ng'ombe. Wakasema: Je! Unatufanyia
- Na wengi wa watu si wenye kuamini hata ukijitahidi vipi..
- Hiyo Jahannamu ni malipo yao kwa walivyo kufuru na wakafanyia kejeli Ishara zangu na Mitume
- Hata watakapo ufikia Moto yatawashuhudia masikio yao, na macho yao na ngozi zao kwa waliyo
- Na walimtaka awape wageni wake. Tukayapofua macho yao, na tukawaambia: Onjeni basi adhabu na maonyo
- Sema: Asaa ni karibu kukufikieni sehemu ya yale mnayo yahimiza.
- Mmeandikiwa -- mmoja wenu anapo fikwa na mauti, kama akiacha mali -- afanye wasia kwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers