Surah Assaaffat aya 171 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَقَدْ سَبَقَتْ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا الْمُرْسَلِينَ﴾
[ الصافات: 171]
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Our word has already preceded for Our servants, the messengers,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
Ninaapa! Hukumu yetu kwa Mitume tulio watuma imekwisha tolewa mbele, ya kwamba ushindi na matokeo mema ni yao wao dhidi ya makafiri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ni nani dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kumbushwa Ishara za Mola wake Mlezi,
- Niache peke yangu na niliye muumba;
- Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
- Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.
- Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,
- Na enyi watu wangu! Kwa nini mimi nakuiteni kwenye uwokofu, nanyi mnaniita kwenye Moto?
- Hakika Mwenyezi Mungu hadhulumu hata uzito wa chembe moja. Na ikiwa ni jambo jema basi
- Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
- Na amani iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa, na siku ya
- Akijiona katajirika.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers