Surah Shuara aya 203 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَيَقُولُوا هَلْ نَحْنُ مُنظَرُونَ﴾
[ الشعراء: 203]
Na watasema: Je, tutapewa muhula?
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they will say, "May we be reprieved?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na watasema: Je, tutapewa muhula?.
Watasema itapo teremka hiyo adhabu: Je, tutapewa muhula? Haya ni kwa majuto kwa kupitiwa na Imani na kutaka waakhirishiwe adhabu. Lakini hawajibiwi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi na awaite wenzake!
- Na msip o mkuta mtu humo basi msiingie mpaka mruhusiwe. Na mkiambiwa: Rudini! Basi rudini.
- Sema: Je nitafute Mola Mlezi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ndiye Mola Mlezi
- Alipo mwambia baba yake: Ewe baba yangu! Kwa nini unaabudu visivyo sikia, na visivyo ona,
- Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
- Kwani hawakuona ya kwamba Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza kuumba
- Na hakika tulimtuma Nuhu kwa watu wake, na akakaa nao miaka elfu kasoro miaka khamsini.
- Mpaka muda maalumu?
- Lakini aliikadhibisha na akaasi.
- Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



