Surah Assaaffat aya 172 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُمْ لَهُمُ الْمَنصُورُونَ﴾
[ الصافات: 172]
Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[That] indeed, they would be those given victory
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa.
Ninaapa! Hukumu yetu kwa Mitume tulio watuma imekwisha tolewa mbele, ya kwamba ushindi na matokeo mema ni yao wao dhidi ya makafiri.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako
- Na ya kwamba hatapata mtu ila aliyo yafanya mwenyewe?
- Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia.
- Na akalifanya jua na mwezi kwa manufaa yenu daima dawamu, na akaufanya usiku na mchana
- Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa
- Alipo waambia watu wake: Hamwogopi?
- Na hakika Mimi ni Mwingi wa Kusamehe kwa anaye tubia, na akaamini, na akatenda mema,
- Na kwa yakini tumeziumba juu yenu njia saba. Nasi hatukuwa wenye kughafilika na viumbe.
- Na lau ungeli ona watavyo simamishwa mbele ya Mola wao Mlezi, akawaambia: Je, si kweli
- Lakini hatukupata humo ila nyumba moja tu yenye Waislamu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



