Surah Assaaffat aya 174 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَتَوَلَّ عَنْهُمْ حَتَّىٰ حِينٍ﴾
[ الصافات: 174]
Basi waachilie mbali kwa muda.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So, [O Muhammad], leave them for a time.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi waachilie mbali kwa mda.
Basi waachilie mbali, nawe ngoja mpaka wakati ujao. Kwani Sisi tutakupa wewe matokeo mema, na manusura, na ushindi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wasio muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na nyoyo zao zikatia shaka, hao tu
- Hao ndio ambao imehakikikishwa hukumu juu yao kama mataifa yaliyo kwisha pita kabla yao miongoni
- Basi zitawapotea khabari siku hiyo, nao hawataulizana.
- Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.
- Na unifanyie nyepesi kazi yangu,
- Wanakusimbulia kuwa wamesilimu! Sema: Msinisimbulie kwa kusilimu kwenu. Bali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kufanyieni hisani
- Au tumewateremshia hoja ambayo kwayo ndio wanafanya ushirikina?
- Na sema: Alhamdu Lillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Yeye atakuonyesheni Ishara zake,
- Je, wanataka dini isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu, na hali kila kilichomo mbinguni na katika
- Wakakiri dhambi zao. Basi kuangamia ni kwa watu wa Motoni!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers