Surah Mujadilah aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mujadilah aya 18 in arabic text(The Pleading).
  
   

﴿يَوْمَ يَبْعَثُهُمُ اللَّهُ جَمِيعًا فَيَحْلِفُونَ لَهُ كَمَا يَحْلِفُونَ لَكُمْ ۖ وَيَحْسَبُونَ أَنَّهُمْ عَلَىٰ شَيْءٍ ۚ أَلَا إِنَّهُمْ هُمُ الْكَاذِبُونَ
[ المجادلة: 18]

Siku atakayo wafufua Mwenyezi Mungu wote, wamuwapie kama wanavyo kuwapieni nyinyi. Na watadhani kuwa wamepata kitu! Kwa hakika hao ndio waongo.

Surah Al-Mujadilah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


On the Day Allah will resurrect them all, and they will swear to Him as they swear to you and think that they are [standing] on something. Unquestionably, it is they who are the liars.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Siku atakayo wafufua Mwenyezi Mungu wote, wamuwapie kama wanavyo kuwapieni nyinyi. Na watadhani kuwa wamepata kitu! Kwa hakika hao ndio waongo.


Siku atapo wafufua Mwenyezi Mungu wote watamwapia kuwa hakika wao walikuwa ni Waumini, kama wanavyo kuapieni nyinyi hivi sasa. Na wanadhani kuwa kwa kuapa kwao huku ni ujanja utakao wafaa. Ama kweli, hakika hawa wamefika ukomo wa uwongo!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 18 from Mujadilah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Enyi watu! Nyinyi ndio wenye haja kwa Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kujitosha,
  2. Na kwa nini msile katika walio somewa jina la Mwenyezi Mungu, naye amekwisha kubainishieni alivyo
  3. Na mkichelea kutakuwapo mfarakano baina ya mke na mume basi pelekeni muamuzi kutokana na jamaa
  4. Na kitupe kilicho katika mkono wako wa kulia; kitavimeza walivyo viunda. Hakika walivyo unda ni
  5. Na watasema: Je, tutapewa muhula?
  6. Kwa hakika watu hawa wanapenda maisha ya kidunia, na wanaiacha nyuma yao siku nzito.
  7. Na tukawavusha bahari Wana wa Israili, wakafika kwa watu wanao abudu masanamu yao. Wakasema: Ewe
  8. Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza; na tumezitia pazia nyoyo zao wasije kuyafahamu. Na upo
  9. Hakika wale wanao mkataa Mwenyezi Mungu na Mitume wake, na wanataka kufarikisha baina ya Mwenyezi
  10. Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mujadilah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mujadilah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mujadilah Complete with high quality
Surah Mujadilah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mujadilah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mujadilah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mujadilah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mujadilah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mujadilah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mujadilah Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Mujadilah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mujadilah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mujadilah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mujadilah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mujadilah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mujadilah Al Hosary
Al Hosary
Surah Mujadilah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mujadilah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 13, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب