Surah Saba aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ جَاءَ الْحَقُّ وَمَا يُبْدِئُ الْبَاطِلُ وَمَا يُعِيدُ﴾
[ سبأ: 49]
Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, wala haurudi.
Surah Saba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "The truth has come, and falsehood can neither begin [anything] nor repeat [it]."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, wala haurudi.
Waambie: Uislamu umedhihiri, wala uwongo hauwezi kuwa ndio njia ya kuipinga Haki. Na hizo mbinu za zamani hazirejei tena.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi
- Wanajua hali ya dhaahiri ya maisha ya dunia, na wameghafilika na Akhera.
- Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
- Na mkiwaita kwenye uwongofu, hawakufuateni. Ni mamoja kwenu ikiwa mtawaita au mkinyamaza.
- Utatambua katika nyuso zao mng'aro wa neema,
- Na aliye kuwa hapa kipofu, basi atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa aliye ipotea zaidi Njia.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
- Je! Imekufikia hadithi ya Musa?
- Na kila nafsi itakuja na pamoja nayo mchungaji na shahidi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Saba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Saba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers