Surah Takwir aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ﴾
[ التكوير: 19]
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[That] indeed, the Qur'an is a word [conveyed by] a noble messenger
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
Hakika Qurani bila ya shaka ni kauli ya Mjumbe anaye toka kwa Mwenyezi Mungu, naye ni mwenye kuhishimiwa kwake,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Matunda yake yakaribu.
- Sema: Hii ndiyo Njia yangu - ninalingania kwa Mwenyezi Mungu kwa kujua - mimi na
- Rehema ambayo Mwenyezi Mungu anawafungulia watu hapana wa kuizuia. Na anayo izuia hapana wa kuipeleka
- Na katika hao mnayo manufaa kadhaa wa kadhaa, na mnapata kwao haja ziliomo vifuani mwenu;
- Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
- Na likakusanywa jua na mwezi,
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watayo fufuliwa viumbe.
- Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
- Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.
- Timizeni kipimo sawa sawa, wala msiwe katika wanao punja.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



