Surah Takwir aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ﴾
[ التكوير: 19]
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[That] indeed, the Qur'an is a word [conveyed by] a noble messenger
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
Hakika Qurani bila ya shaka ni kauli ya Mjumbe anaye toka kwa Mwenyezi Mungu, naye ni mwenye kuhishimiwa kwake,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?
- Isipo kuwa maneno ya Salama, Salama.
- Akasema: Haiwi mimi nimsujudie mtu uliye muumba kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na
- Mwenyezi Mungu atasema: Ingieni Motoni pamoja na umma zilizo pita kabla yenu za majini na
- Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
- Bila ya shaka wanao fungamana nawe, kwa hakika wanafungamana na Mwenyezi Mungu. Mkono wa Mwenyezi
- Na ungeli waona wakosefu wanvyo inamisha vichwa vyao mbele ya Mola wao Mlezi, (wakisema): Mola
- Kisha tukayaweka mahali pa utulivu madhubuti?
- Malipo yao kwa Mola wao Mlezi ni Bustani za daima, zipitazo mito kati yake. Wakae
- Wakasema: Je, tuwaamini wanaadamu wawili hawa kama sisi, na ambao watu wao ni watumwa wetu?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



