Surah Fatiha aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fatiha aya 1 in arabic text(The Opening).
  
   

﴿بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ﴾
[ الفاتحة: 1]

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Surah Al-Fatihah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


In the name of Allah, the Entirely Merciful, the Especially Merciful.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU .


Sura inaanza kwa Jina la Mwenyezi Mungu ambaye hapana anayefaa kuabudiwa ila Yeye aliye sifika kwa kila sifa za ukamilifu, na ametakasika na kila la upungufu. Yeye ndiye Mwenye rehema ambaye ananeemesha kwa neema kubwa na ndogo, na za kuwapa wote, na za kuwapa walio khusika. Na Yeye ndiye mwenye kusifika kwa sifa ya Rehema yenye kudumu. (Kauli ya mwanzo aliyo semezwa Mtume s.a.w. na kuamrishwa na Mwenyezi Mungu ni -Iqra` bismi Rabbika-, yaani: -Soma kwa jina la Mola wako Mlezi!- Naye Mtume s.a.w. amesema: -Jambo lolote lisilo anziwa kwa Bismillahi ni pungufu.- Kila Sura ya Qurani, isipo kuwa Sura Attawba, imeanziwa kwa Bismillahi Rrahmani Rrahim.)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Fatiha


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wapeni mayatima mali yao. Wala msibadilishe kibaya kwa kizuri. Wala msile mali zao pamoja
  2. Na tulimtunukia (Ibrahim) Is-haq na Yaa'qub. Na tukajaalia katika dhuriya zake Unabii na Kitabu, na
  3. Kama hamwendi atakuadhibuni adhabu chungu, na atawaleta watu wengine, wala nyinyi hamtamdhuru chochote. Na Mwenyezi
  4. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa
  5. Sema: Kitu gani ushahidi wake mkubwa kabisa? Sema: Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye shahidi baina yangu
  6. Hakika hao wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawana akili.
  7. Sema: Je! Mwaonaje zile riziki alizo kuteremshieni Mwenyezi Mungu, nanyi mkafanya katika hizo nyengine haramu
  8. Wakasema: Wallahi! Mnajua vyema kwamba sisi hatukuja kufanya uharibifu katika nchi hii, wala sisi si
  9. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake, na kuwa
  10. Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fatiha with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fatiha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatiha Complete with high quality
Surah Fatiha Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fatiha Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fatiha Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fatiha Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fatiha Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fatiha Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fatiha Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Fatiha Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fatiha Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fatiha Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fatiha Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fatiha Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fatiha Al Hosary
Al Hosary
Surah Fatiha Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fatiha Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب