Surah Fatiha aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Fatiha aya 1 in arabic text(The Opening).
  
   

﴿بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ﴾
[ الفاتحة: 1]

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

Surah Al-Fatihah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


In the name of Allah, the Entirely Merciful, the Especially Merciful.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU .


Sura inaanza kwa Jina la Mwenyezi Mungu ambaye hapana anayefaa kuabudiwa ila Yeye aliye sifika kwa kila sifa za ukamilifu, na ametakasika na kila la upungufu. Yeye ndiye Mwenye rehema ambaye ananeemesha kwa neema kubwa na ndogo, na za kuwapa wote, na za kuwapa walio khusika. Na Yeye ndiye mwenye kusifika kwa sifa ya Rehema yenye kudumu. (Kauli ya mwanzo aliyo semezwa Mtume s.a.w. na kuamrishwa na Mwenyezi Mungu ni -Iqra` bismi Rabbika-, yaani: -Soma kwa jina la Mola wako Mlezi!- Naye Mtume s.a.w. amesema: -Jambo lolote lisilo anziwa kwa Bismillahi ni pungufu.- Kila Sura ya Qurani, isipo kuwa Sura Attawba, imeanziwa kwa Bismillahi Rrahmani Rrahim.)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 1 from Fatiha


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.
  2. Bila ya shaka watakusanywa kwa wakati wa siku maalumu.
  3. Wala yasikuhuzunishe maneno yao. Hakika utukufu wote ni wa Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye Mwenye kusikia
  4. Na tukawarithisha watu walio kuwa wanadharauliwa mashariki na magharibi ya ardhi tuliyo ibariki. Na likatimia
  5. Na Mwenyezi Mungu angeli taka, kwa yakini angeli kufanyeni umma mmoja. Lakini anamwachia kupotea anaye
  6. Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako.
  7. Shikamana na kusamehe, na amrisha mema, na jitenge na majaahili.
  8. Na mshike Sala, na mcheni Yeye, na kwake Yeye ndiko mtako kusanywa.
  9. Na kwa yakini tulipeleka Mitume kwa kaumu zilizo kuwa kabla yako, kisha tukazitia katika dhiki
  10. Na alikwisha wajia Mjumbe wa miongoni mwao wenyewe. Lakini wakamkanusha; basi iliwafika adhabu hali ya

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Fatiha with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Fatiha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Fatiha Complete with high quality
Surah Fatiha Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Fatiha Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Fatiha Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Fatiha Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Fatiha Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Fatiha Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Fatiha Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Fatiha Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Fatiha Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Fatiha Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Fatiha Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Fatiha Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Fatiha Al Hosary
Al Hosary
Surah Fatiha Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Fatiha Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, January 12, 2026

Please remember us in your sincere prayers