Surah Shams aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْقَمَرِ إِذَا تَلَاهَا﴾
[ الشمس: 2]
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
Surah Ash-Shams in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [by] the moon when it follows it
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
Na kwa mwezi unapo lifuata na likawa nyuma yake kwa kutoa mwangaza baada ya kuchwa jua,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na katika khabari za Musa, tulipo mtuma kwa Firauni na hoja wazi.
- Na kwa nini mlipo yasikia msiseme: Haitufalii kuzungumza haya. Subhanak Umetakasika! Huu ni uzushi mkubwa!
- Basi usiwe na shaka juu ya wanayo yaabudu hao. Hawaabudu ila kama walivyo abudu baba
- Ndio hivyo! Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kudhoofisha vitimbi vya makafiri.
- Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?
- Na anapo bashiriwa mmoja wao kwa yale aliyo mpigia mfano Mwenyezi Mungu, uso wake husawijika
- Haya ni kwa sababu mlikuwa mkijitapa katika ardhi pasipo haki, na kwa sababu mlikuwa mkijishaua.
- Mwenyezi Mungu akamwambia: Ewe Iblisi! Kipi kilicho kuzuia kumt'ii yule niliye muumba kwa mikono yangu?
- Basi ukelele ukawatwaa asubuhi.
- Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shams with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shams mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shams Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers