Surah Bayyinah aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Bayyinah aya 5 in arabic text(The Clear Evidence).
  
   

﴿وَمَا أُمِرُوا إِلَّا لِيَعْبُدُوا اللَّهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ حُنَفَاءَ وَيُقِيمُوا الصَّلَاةَ وَيُؤْتُوا الزَّكَاةَ ۚ وَذَٰلِكَ دِينُ الْقَيِّمَةِ
[ البينة: 5]

Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala, na watoe Zaka. Na hiyo ndiyo Dini madhubuti.

Surah Al-Bayyinah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And they were not commanded except to worship Allah, [being] sincere to Him in religion, inclining to truth, and to establish prayer and to give zakah. And that is the correct religion.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Swala, na watoe Zaka. Na hiyo ndiyo Dini madhubuti.


Na hawakulazimishwa jambo katika walio lazimishwa ila iwe ibada yao kwa Mwenyezi Mungu ni kumsafia Yeye Dini, waache upotovu wasimame sawa kwenye Haki, na wazihifadhi Swala, na watoe Zaka. Na hiyo ndiyo Mila Iliyo Nyooka.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 5 from Bayyinah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Walipo kwisha pita alimwambia kijana wake: Tupe chakula chetu cha mchana. Kwa hakika tumepata machofu
  2. Na Wallahi! Nitayafanyia vitimbi masanamu yenu haya baada ya mkisha geuka kwenda zenu.
  3. Je! Hawaoni umma ngapi tulizo ziangamiza kabla yao? Hakika hao hawarejei tena kwao.
  4. Haya ni kwa ajili awakate sehemu katika walio kufuru, au awahizi wapate kurejea nyuma nao
  5. Je! Hawaoni ya kwamba tunayapeleka maji kwenye ardhi kavu, kisha kwayo tunaitoa mimea wanayo kula
  6. Na itupe fimbo yako! Alipo iona ikitikisika kama nyoka, aligeuka nyuma wala hakungoja. Ewe Musa!
  7. Kwa sababu hakusadiki, wala hakusali.
  8. Sema: Ewe Mwenyezi Mungu! Muumba mbingu na ardhi! Mjuzi wa yasiyo onekana na yanayo onekana!
  9. Ambao hutoa wanapo kuwa na wasaa na wanapo kuwa na dhiki, na wanajizuia ghadhabu, na
  10. Watasema: Walikuwa watatu, wa nne wao ni mbwa wao. Na wanasema: Walikuwa watano, wa sita

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Bayyinah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Bayyinah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Bayyinah Complete with high quality
Surah Bayyinah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Bayyinah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Bayyinah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Bayyinah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Bayyinah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Bayyinah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Bayyinah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Bayyinah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Bayyinah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Bayyinah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Bayyinah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Bayyinah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Bayyinah Al Hosary
Al Hosary
Surah Bayyinah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Bayyinah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 14, 2026

Please remember us in your sincere prayers