Surah Shams aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالنَّهَارِ إِذَا جَلَّاهَا﴾
[ الشمس: 3]
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
Surah Ash-Shams in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [by] the day when it displays it
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
Na kwa mchana unapo lidhihirisha jua, likaonekana wazi halikufichikana.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya
- Mmekuwaje kuwa makundi mawili kwa khabari ya wanaafiki, na hali Mwenyezi Mungu amewageuza kwa sababu
- Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
- Enyi mlio amini! Msiingie nyumba zisio nyumba zenu mpaka mwombe ruhusa, na mwatolee salamu wenyewe.
- Wanajua hali ya dhaahiri ya maisha ya dunia, na wameghafilika na Akhera.
- Kwa neema ya Mola wako Mlezi wewe si mwendawazimu.
- Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
- Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
- T'aa Siin Miim. (T'. S. M.)
- Wala usiufanye mkono wako kama ulio fungwa shingoni mwako, wala usiukunjue wote kabisa, utabaki ukilaumiwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shams with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shams mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shams Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



