Surah Jinn aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jinn aya 7 in arabic text(The Jinn - The Spirits).
  
   

﴿وَأَنَّهُمْ ظَنُّوا كَمَا ظَنَنتُمْ أَن لَّن يَبْعَثَ اللَّهُ أَحَدًا﴾
[ الجن: 7]

Na kwa hakika wao walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi, ya kuwa Mwenyezi Mungu hatamleta Mtume.

Surah Al-Jinn in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And they had thought, as you thought, that Allah would never send anyone [as a messenger].


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na kwa hakika wao walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi, ya kuwa Mwenyezi Mungu hatamleta Mtume.


Na hakika majini walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi, enyi binaadamu, kwamba Mwenyezi Mungu hatamfufua yeyote baada ya kwisha kufa, wala hatowaletea watu Mtume yeyote wa kibinaadamu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 7 from Jinn


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na
  2. Kuleni katika vitu vizuri hivyo tulivyo kuruzukuni, wala msiruke mipaka katika hayo, isije ikakushukieni ghadhabu
  3. Je! Wenye maradhi nyoyoni mwao wanadhani kwamba Mwenyezi Mungu hatazidhihirisha chuki zao?
  4. Angalia vipi tulivyo wafadhili baadhi yao kuliko wenginewe. Na hakika Akhera ni yenye daraja kubwa
  5. Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
  6. Na Mwenyezi Mungu amekuumbeni kutokana na udongo. Kisha kwa tone la manii. Kisha akakufanyeni mwanamume
  7. Siku ambayo nyuso zao zitapinduliwa pinduliwa katika Moto. Watasema: Laiti tungeli mt'ii Mwenyezi Mungu, na
  8. Na mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume. Mkigeuka, basi hakika juu ya Mtume wetu ni
  9. Na nini kilicho wazuilia watu kuamini ulipo wajia uwongofu isipo kuwa walisema: Je! Mwenyezi Mungu
  10. Kwa hakika tumevifanya vilioko juu ya ardhi kuwa ni pambo lake ili tuwafanyie mtihani, ni

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Surah Jinn Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jinn Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jinn Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jinn Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jinn Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jinn Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jinn Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Jinn Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jinn Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jinn Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jinn Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jinn Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jinn Al Hosary
Al Hosary
Surah Jinn Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jinn Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, February 1, 2026

Please remember us in your sincere prayers