Surah Baqarah aya 200 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Baqarah aya 200 in arabic text(The Cow).
  
   

﴿فَإِذَا قَضَيْتُم مَّنَاسِكَكُمْ فَاذْكُرُوا اللَّهَ كَذِكْرِكُمْ آبَاءَكُمْ أَوْ أَشَدَّ ذِكْرًا ۗ فَمِنَ النَّاسِ مَن يَقُولُ رَبَّنَا آتِنَا فِي الدُّنْيَا وَمَا لَهُ فِي الْآخِرَةِ مِنْ خَلَاقٍ
[ البقرة: 200]

Na mkisha timiza ibada zenu basi mtajeni Mwenyezi Mungu kama mlivyo kuwa mkiwataja baba zenu au mtajeni zaidi. Na wapo baadhi ya watu wanao sema: Mola wetu Mlezi, tupe duniani! Naye katika Akhera hana sehemu yoyote.

Surah Al-Baqarah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And when you have completed your rites, remember Allah like your [previous] remembrance of your fathers or with [much] greater remembrance. And among the people is he who says, "Our Lord, give us in this world," and he will have in the Hereafter no share.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na mkisha timiza ibada zenu basi mtajeni Mwenyezi Mungu kama mlivyo kuwa mkiwataja baba zenu au mtajeni zaidi. Na wapo baadhi ya watu wanao sema: Mola wetu Mlezi, tupe duniani! Naye katika Akhera hana sehemu yoyote.


Mkisha maliza amali za Hija na ibada zake wacheni mliyo kuwa mkiyafanya zama za ujahili ya kutafakhari kwa baba zenu na kukumbusha mambo yao, bali makumbusho yenu na kutukuza kwenu kuwe kwa Mwenyezi Mungu kama mlivyo kuwa mkiwakumbuka baba zenu, bali mtajeni Yeye kwa wingi zaidi kuliko wazee wenu, kwani Yeye ndiye Mwenye kuzitawala neema zenu na neema za baba zenu vile vile. Na humu mwahali mwa Hija ndio khasa mwahala mwa dua na kuombea fadhila na kheri na rehema zitokazo kwa Mwenyezi Mungu. Na walikuwako baadhi ya Mahujaji wakifupiza dua zao kwa mambo na kheri za dunia tu. Hao hawapati sehemu yoyote ya Akhera.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 200 from Baqarah


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Baqarah with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Baqarah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Baqarah Complete with high quality
    Surah Baqarah Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Baqarah Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Baqarah Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Baqarah Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Baqarah Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Baqarah Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Baqarah Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Baqarah Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Baqarah Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Baqarah Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Baqarah Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Baqarah Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Baqarah Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Baqarah Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Baqarah Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers