Surah zariyat aya 23 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah zariyat aya 23 in arabic text(The Wind That Scatter).
  
   

﴿فَوَرَبِّ السَّمَاءِ وَالْأَرْضِ إِنَّهُ لَحَقٌّ مِّثْلَ مَا أَنَّكُمْ تَنطِقُونَ﴾
[ الذاريات: 23]

Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo kweli kuwa nyinyi mnasema.

Surah Adh-Dhariyat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then by the Lord of the heaven and earth, indeed, it is truth - just as [sure as] it is that you are speaking.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, hakika haya ni kweli kama ilivyo kweli kuwa nyinyi mnasema.


Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mbingu na ardhi kwamba hakika yote hayo mnayo yakanya kuwa, yaani kufufuliwa, kulipwa, kuadhibiwa wanao kadhibisha, na kuwalipa thawabu wachamngu, yote hayo bila ya shaka ni ya kweli thaabiti kama hivyo kusema kwenu ambako hamna shaka nako kuwa mnasema.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 23 from zariyat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa kuyakataa tuliyo wapa. Basi stareheni. Mtakuja jua!
  2. (Musa) akasema: Hayo ndiyo tuliyo kuwa tunayataka. Basi wakarudi nyuma kwa kufuata njia waliyo jia.
  3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
  4. Basi nawacheke kidogo; watalia sana. Hayo ni malipo ya yale waliyo kuwa wakiyachuma.
  5. Basi ni kwa sababu ya rehema itokayo kwa Mwenyezi Mungu ndio umekuwa laini kwao. Na
  6. Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa kwao katika
  7. Sema: Ati ndio mnamfundisha Mwenyezi Mungu Dini yenu, na hali Mwenyezi Mungu anayajua ya katika
  8. Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
  9. Au wanasema: Ana wazimu? Bali amewajia kwa Haki, na wengi wao wanaichukia Haki.
  10. Na siri zote za katika mbingu na ardhi ziko kwa Mwenyezi Mungu. Wala halikuwa jambo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Surah zariyat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah zariyat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah zariyat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah zariyat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah zariyat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah zariyat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah zariyat Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah zariyat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah zariyat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah zariyat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah zariyat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah zariyat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah zariyat Al Hosary
Al Hosary
Surah zariyat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah zariyat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 13, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب