Surah Nuh aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nuh aya 25 in arabic text(Noah).
  
   
ayat 25 from Surah Nuh

﴿مِّمَّا خَطِيئَاتِهِمْ أُغْرِقُوا فَأُدْخِلُوا نَارًا فَلَمْ يَجِدُوا لَهُم مِّن دُونِ اللَّهِ أَنصَارًا﴾
[ نوح: 25]

Basi kwa ajili ya makosa yao waligharikishwa wakaingizwa Motoni, wala hawakuwapata wa kuwanusuru badala ya Mwenyezi Mungu.

Surah Nuh in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Because of their sins they were drowned and put into the Fire, and they found not for themselves besides Allah [any] helpers.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi kwa ajili ya makosa yao waligharikishwa wakaingizwa Motoni, wala hawakuwapata wa kuwanusuru badala ya Mwenyezi Mungu.


Kwa sababu ya madhambi yao wakazamishwa kwa tofani, na baada ya kuangamizwa kwao wakatiwa Motoni kwenye moto mkali wa kuwaka na kuteketeza, na wala wasipate yeyote baada ya kumkosa Mwenyezi Mungu, wa kuwanusuru na kuwakinga na adhabu!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 25 from Nuh


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na Zakaria na Yahya na Isa na Ilyas. Wote walikuwa miongoni mwa watu wema.
  2. Basi walipo yasahau waliyo kumbushwa, tuliwaokoa walio kuwa wakikataza maovu, na tukawatesa walio dhulumu kwa
  3. Au mnataka kumwomba Mtume wenu kama alivyo ombwa Musa zamani? Na anaye badilisha Imani kwa
  4. Atauingia Moto wenye mwako.
  5. Au unawaomba ujira? Lakini ujira wa Mola wako Mlezi ni bora, na Yeye ndiye Mbora
  6. Wala usimsalie kabisa yeyote katika wao akifa, wala usisimame kaburini kwake. Hakika hao wamemkataa Mwenyezi
  7. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu
  8. Wakati nyota zitakapo futwa,
  9. Na namna hivi tumeiteremsha (Qur'ani) kuwa ni Aya zilizo wazi, na hakika Mwenyezi Mungu humwongoa
  10. Na kwa namna hii tuliwainua usingizini wapate kuulizana wao kwa wao. Alisema msemaji katika wao:

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Surah Nuh Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nuh Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nuh Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nuh Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nuh Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nuh Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nuh Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Nuh Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nuh Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nuh Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nuh Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nuh Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nuh Al Hosary
Al Hosary
Surah Nuh Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nuh Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, October 21, 2025

Please remember us in your sincere prayers