Surah Nuh aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nuh aya 25 in arabic text(Noah).
  
   
ayat 25 from Surah Nuh

﴿مِّمَّا خَطِيئَاتِهِمْ أُغْرِقُوا فَأُدْخِلُوا نَارًا فَلَمْ يَجِدُوا لَهُم مِّن دُونِ اللَّهِ أَنصَارًا﴾
[ نوح: 25]

Basi kwa ajili ya makosa yao waligharikishwa wakaingizwa Motoni, wala hawakuwapata wa kuwanusuru badala ya Mwenyezi Mungu.

Surah Nuh in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Because of their sins they were drowned and put into the Fire, and they found not for themselves besides Allah [any] helpers.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi kwa ajili ya makosa yao waligharikishwa wakaingizwa Motoni, wala hawakuwapata wa kuwanusuru badala ya Mwenyezi Mungu.


Kwa sababu ya madhambi yao wakazamishwa kwa tofani, na baada ya kuangamizwa kwao wakatiwa Motoni kwenye moto mkali wa kuwaka na kuteketeza, na wala wasipate yeyote baada ya kumkosa Mwenyezi Mungu, wa kuwanusuru na kuwakinga na adhabu!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 25 from Nuh


Ayats from Quran in Swahili

  1. Au nani yule anaye mjibu mwenye shida pale anapo mwomba, na akaiondoa dhiki, na akakufanyeni
  2. Na wale wanao jitenga na wake zao, kisha wakarudia katika yale waliyo yasema, basi wamkomboe
  3. Mwenyezi Mungu atawaongoaje watu walio kufuru baada ya kuamini kwao, na wakashuhudia ya kuwa Mtume
  4. Na uambatishe mkono wako kwenye ubavu. Utatoka mweupe pasipo kuwa na madhara yoyote. Hiyo ni
  5. Je! Wao hawaoni jinsi Mwenyezi Mungu anavyo anzisha uumbaji, na kisha akarudisha tena. Hakika hayo
  6. Haiwafalii watu wa Madina na Mabedui walio jirani zao kubakia nyuma wasitoke na Mtume, wala
  7. Na (waonye) siku tutakapo wainua mashahidi katika kila umma wakiwashuhudia kwa yanayo tokana na wao,
  8. Nasi hatukukutuma ila kuwa ni Mbashiri na Mwonyaji.
  9. Na ikiwa unajikurupusha nao, nawe unatafuta rehema ya Mola wako Mlezi unayo itaraji, basi sema
  10. Watasema: Tuna nini hata hatuwaoni wale watu ambao tukiwahisabu ndio katika waovu?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nuh with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nuh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nuh Complete with high quality
Surah Nuh Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nuh Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nuh Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nuh Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nuh Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nuh Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nuh Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Nuh Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nuh Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nuh Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nuh Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nuh Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nuh Al Hosary
Al Hosary
Surah Nuh Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nuh Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, April 2, 2026

Please remember us in your sincere prayers