Surah Waqiah aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ﴾
[ الواقعة: 24]
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
As reward for what they used to do.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda.
Watapewa haya kuwa ni malipo kwa mambo mema waliyo kuwa wakiyatenda duniani.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wakikukanusha basi walikwisha wakanusha walio kuwa kabla yao. Mitume wao waliwajia kwa dalili wazi
- Wakae humo milele.
- Na wale wanao kishikilia Kitabu, na wakashika Sala - hakika Sisi hatupotezi ujira wa watendao
- Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
- Hakika wao wanaiona iko mbali,
- Na tunapo badilisha Ishara pahala pa Ishara nyengine, na Mwenyezi Mungu anajua anayo teremsha, wao
- Alipo wapa katika fadhila yake wakaifanyia ubakhili na wakageuka, na huku wakipuuza.
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
- Hao ndio warithi,
- Na kwa hakika tulimpa Musa uwongofu, na tukawarithisha Wana wa Israili Kitabu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



