Surah shura aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah shura aya 34 in arabic text(The Consultation).
  
   

﴿أَوْ يُوبِقْهُنَّ بِمَا كَسَبُوا وَيَعْفُ عَن كَثِيرٍ﴾
[ الشورى: 34]

Au huviangamiza hivyo vyombo kwa sababu ya waliyo yatenda hao watu. Naye husamehe mengi.

Surah Ash_shuraa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Or He could destroy them for what they earned; but He pardons much.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Au huviangamiza hivyo vyombo kwa sababu ya waliyo yatenda hao watu. Naye husamehe mengi.


Au akayateketeza hayo majahazi kwa sababu ya madhambi ya walio panda, kwa kuwapelekea upepo wa kimbunga. Na Mwenyezi Mungu akipenda anasamehe mengi; kwa kuwa hawaadhibu kwa kuzuia upepo na kuleta shuwari, au kwa kuleta kimbunga cha kuwazamisha.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 34 from shura


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na litapulizwa barugumu, wazimie waliomo mbinguni na waliomo katika ardhi, isipo kuwa aliye mtaka Mwenyezi
  2. Yakateketezwa matunda yake, akabaki akipindua pindua viganja vyake, kwa vile alivyo yagharimia, na miti imebwagika
  3. Na wengi wa watu si wenye kuamini hata ukijitahidi vipi..
  4. Sema: Enyi watu wangu! Fanyeni muwezayo, na hakika mimi nafanya. Mtakuja jua nani atakuwa na
  5. Ufalme wote siku hiyo utakuwa wa Mwenyezi Mungu. Atahukumu baina yao. Basi walio amini na
  6. Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
  7. Na wewe hukuwa kabla yake unasoma kitabu chochote, wala hukukiandika kwa mkono wako wa kulia.
  8. Ya kuwa mtie katika kisanduku, na kisha kitie mtoni, na mto utamfikisha ufukweni. Atamchukua adui
  9. Na tumekupa Aya saba zinazo somwa mara kwa mara, na Qur'ani Tukufu.
  10. Ama wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah shura with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah shura mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter shura Complete with high quality
Surah shura Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah shura Bandar Balila
Bandar Balila
Surah shura Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah shura Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah shura Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah shura Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah shura Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah shura Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah shura Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah shura Fares Abbad
Fares Abbad
Surah shura Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah shura Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah shura Al Hosary
Al Hosary
Surah shura Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah shura Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, October 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers