Surah Sad aya 85 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Sad aya 85 in arabic text(Sad).
  
   
ayat 85 from Surah Saad

﴿لَأَمْلَأَنَّ جَهَنَّمَ مِنكَ وَمِمَّن تَبِعَكَ مِنْهُمْ أَجْمَعِينَ﴾
[ ص: 85]

Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wewe na kwa hao wote wenye kukufuata miongoni mwao.

Surah Saad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[That] I will surely fill Hell with you and those of them that follow you all together."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa wewe na kwa hao wote wenye kukufuata miongoni mwao.


Akasema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Haki ndiyo yamini yangu na kiapo changu; na wala sisemi ila Haki. Bila ya shaka nitaijaza Jahannamu kwa jinsi yako ya kishetani na watakao kufuata katika vizazi vya Adam wote. Hapana khitilafu kwangu baina ya wafuasi na wanao fuatwa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 85 from Sad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Enyi watu! Umekufikieni ushahidi kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Na tumekuteremshieni Nuru iliyo wazi.
  2. Na mlipo kutana akakuonyesheni machoni mwenu kuwa wao ni wachache, na akakufanyeni nyinyi ni wachache
  3. Na ama walio kufuru, wataambiwa: Kwani hamkuwa mkisomewa Aya zangu nanyi mkapanda kichwa, na mkawa
  4. Na anawaitikia wanao amini na wakatenda mema, na anawazidishia fadhila zake. Na makafiri watakuwa na
  5. Mkiwaomba hawasikii maombi yenu; na hata wakisikia hawakujibuni. Na Siku ya Kiyama watakataa ushirikina wenu.
  6. Mwenyezi Mungu hubadilisha usiku na mchana. Hakika katika hayo yapo mazingatio kwa wenye kuona.
  7. Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
  8. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
  9. Hakika Waumini wa kweli ni walio muamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; na wanapo kuwa
  10. Kwani hawakuona ya kwamba Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza kuumba

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Surah Sad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Sad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Sad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Sad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Sad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Sad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Sad Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Sad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Sad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Sad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Sad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Sad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Sad Al Hosary
Al Hosary
Surah Sad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Sad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, September 16, 2025

Please remember us in your sincere prayers