Surah Mulk aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ هُوَ الَّذِي ذَرَأَكُمْ فِي الْأَرْضِ وَإِلَيْهِ تُحْشَرُونَ﴾
[ الملك: 24]
Sema: Yeye ndiye aliye kutawanyeni katika ardhi, na kwake mtakusanywa.
Surah Al-Mulk in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "It is He who has multiplied you throughout the earth, and to Him you will be gathered."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Yeye ndiye aliye kutawanyeni katika ardhi, na kwake mtakusanywa.
Sema: Huyo ndiye aliye kutawanyeni katika ardhi, na kwake Yeye peke yake ndio mtarejea kwa ajili ya kukuhisabuni na kukulipeni.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni;
- Na ndugu zao wanawavutia kwenye upotofu, kisha wao hawaachi.
- Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
- Hapana ila kufa kwetu mara ya kwanza tu, wala sisi hatufufuliwi.
- Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!
- Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
- Na mwenye kuogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi atapata Bustani mbili.
- Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
- Enyi mlio amini! Nawakutakeni idhini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia na walio bado kubaalighi
- Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mulk with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mulk mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mulk Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers