Surah Jinn aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ إِنْ أَدْرِي أَقَرِيبٌ مَّا تُوعَدُونَ أَمْ يَجْعَلُ لَهُ رَبِّي أَمَدًا﴾
[ الجن: 25]
Sema: Sijui kama yapo karibu hayo mnayo ahidiwa, au Mola wangu Mlezi atayawekea muda mrefu.
Surah Al-Jinn in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "I do not know if what you are promised is near or if my Lord will grant for it a [long] period."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Sijui kama yapo karibu hayo mnayo ahidiwa, au Mola wangu Mlezi atayawekea muda mrefu.
Sema: Enyi makafiri! Sijui ni karibu hiyo adhabu mliyo ahidiwa, au Mola wangu Mlezi ataifanya iwe mbali?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.
- Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
- Na ama atakaye pewa daftari lake kwa nyuma ya mgongo wake,
- Nafsi yoyote haijui waliyo fichiwa katika hayo yanayo furahisha macho - ni malipo ya yale
- Na zinazo farikisha zikatawanya!
- Jua litakapo kunjwa,
- Na hakika sisi tutarudi kwa Mola wetu Mlezi.
- Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia.
- Hakika haya ni majaribio yaliyo dhaahiri.
- Na haiwafikii Ishara yoyote katika Ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa ni wenye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers