Surah Naml aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿۞ قَالَ سَنَنظُرُ أَصَدَقْتَ أَمْ كُنتَ مِنَ الْكَاذِبِينَ﴾
[ النمل: 27]
Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo.
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Solomon] said, "We will see whether you were truthful or were of the liars.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo.
Sulaiman akasema kumwambia Hud-hud: Tutaichungua khabari yako hii tujue kwamba umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mbingu itapo chanika,
- Na kama liko kundi miongoni mwenu lililo amini haya niliyo tumwa, na kundi jengine halikuamini,
- Akasema: Msiogope! Hakika Mimi ni pamoja nanyi. Nasikia na ninaona.
- Basi nawacheke kidogo; watalia sana. Hayo ni malipo ya yale waliyo kuwa wakiyachuma.
- Wala wewe huwaombi ujira kwa haya. Hayakuwa haya ila ni mawaidha kwa walimwengu wote.
- Mwanaadamu ameumbwa na haraka. Nitakuonyesheni Ishara zangu. Basi msinihimize.
- Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
- Na wale walio amini na wakatenda mema tutawaingiza katika Pepo zipitazo mito kati yake kwa
- Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?
- Kila nafsi itaonja mauti; na tunakujaribuni kwa mtihani wa shari na kheri. Na kwetu Sisi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers