Surah Baqarah aya 103 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَوْ أَنَّهُمْ آمَنُوا وَاتَّقَوْا لَمَثُوبَةٌ مِّنْ عِندِ اللَّهِ خَيْرٌ ۖ لَّوْ كَانُوا يَعْلَمُونَ﴾
[ البقرة: 103]
Na lau kuwa wangeamini na wakaogopa, bila ya shaka malipo yatokayo kwa Mwenyezi Mungu yange kuwa bora. Laiti wangeli kuwa wanajua!
Surah Al-Baqarah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And if they had believed and feared Allah, then the reward from Allah would have been [far] better, if they only knew.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na lau kuwa wangeamini na wakaogopa, bila ya shaka malipo yatokayo kwa Mwenyezi Mungu yange kuwa bora. Laiti wangeli kuwa wanajua!
Na lau kuwa wao wameiamini Haki na wakauogopa ufalme na uwezo wa Mola wao Mlezi, basi Mwenyezi Mungu angeli walipa malipo mema, na hayo bila ya shaka yoyote yangeli kuwa ni bora zaidi kuliko wanayo yapata katika hadithi zao za uwongo na dhamiri zao mbovu wanazo zidhamiria, lau kuwa wanabagua linalo kuwa na manufaa wakaacha lenye madhara.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walio kufuru watakuwa na Moto wa Jahannamu, hawahukumiwi wakafa, wala hawatapunguziwa adhabu yake. Hivyo
- Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi?
- Au uwe na kitalu cha mitende na mizabibu, na utupitishie mito kati yake ikimiminika.
- Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
- Je, mnastaajabu kukujieni mawaidha yanayotoka kwa Mola Mlezi wenu kwa njia ya mtu aliye ni
- Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.
- Lakini walio kufuru wamo katika kukadhibisha.
- Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
- Hichi ndicho kipawa chetu. Basi toa au zuia, bila ya hisabu.
- Walisema wale wakuu walio kufuru katika watu wake: Huyu si chochote ila ni mtu tu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Baqarah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Baqarah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Baqarah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers