Surah Assaaffat aya 168 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَوْ أَنَّ عِندَنَا ذِكْرًا مِّنَ الْأَوَّلِينَ﴾
[ الصافات: 168]
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
"If we had a message from [those of] the former peoples,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,.
Lau kuwa sisi tungeli kuwa na Kitabu kama Vitabu vya watu wa zamani, yaani kama Taurati na Injili, nasi bila ya shaka tungeli kuwa waja wa Mwenyezi Mungu wenye kumsafia ibada Yeye.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Nini hali ya karne za kwanza?
- Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
- (Firauni) akasema: Ukimfuata mungu mwengine asiye kuwa mimi, basi bila ya shaka nitakufunga gerezani.
- Alipo mwita Mola wake Mlezi kwa siri.
- Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,
- Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!
- Na kwa Nyumba iliyo jengwa,
- Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
- Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.
- Katika makalio ya haki kwa Mfalme Mwenye uweza.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers