Surah Saba aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا الْوَعْدُ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ﴾
[ سبأ: 29]
Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
Surah Saba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they say, "When is this promise, if you should be truthful?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
Na makafiri wanasema kwa kuifanya haiwi hiyo Siku iliyo ahidiwa kwa ajili ya malipo: Lini itakuwa ahadi hii tuingie Motoni, na nyinyi muingie Peponi, kama nyinyi ni wakweli kwa hiyo ahadi yenu?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na sikiliza siku atapo nadi mwenye kunadi kutoka pahala karibu.
- Au wamepata miungu katika ardhi inayo fufua?
- Na akatoa kidogo, kisha akajizuia?
- Na alipo pigiwa mfano Mwana wa Mariamu, watu wako waliupiga ukelele.
- Wanawake waovu ni wa wanaume waovu, na wanaume waovu ni wa wanawake waovu. Na wanawake
- Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?
- Kwa siku ya kupambanua!
- (Aambiwe): Kwa hakika ulikuwa umeghafilika na haya; basi leo tumekuondolea pazia lako, na kwa hivyo
- Wala mimi sikutakini ujira juu yake; ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu
- Kwani wewe hakika huwafanyi maiti wakasikia, wala viziwi wakasikia wito wakisha geuka kukupa mgongo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Saba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Saba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers