Surah Adiyat aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَأَثَرْنَ بِهِ نَقْعًا﴾
[ العاديات: 4]
Huku wakitimua vumbi,
Surah Al-Adiyat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Stirring up thereby [clouds of] dust,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Huku wakitimua vumbi,
Wakatimua mavumbia mengi, farasi hao, kati ya makundi ya maadui!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kama kwamba hawakuwako huko. Hebu zingatieni! Hakika kina Thamud walimkufuru Mola wao Mlezi. Hebu zingatieni!
- Hasha! Kwa hakika huu ni ukumbusho!
- Na mwanaadamu huomba shari kama vile aombavyo kheri, kwani mwanaadamu ni mwenye pupa.
- Apate kukutengenezeeni vitendo vyenu na akusameheni madhambi yenu. Na anaye mt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume
- Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tumemsikia mwenye kuita akiitia Imani kwamba: Muaminini Mola wenu Mlezi;
- Kisha tukawazamisha hao wengine.
- Basi ziangalie athari za rehema ya Mwenyezi Mungu, jinsi anavyo ihuisha ardhi baada ya kufa
- Kisha hakika ni juu yetu Sisi hisabu yao!
- Na atamfunza kuandika na Hikima na Taurati na Injili.
- Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Adiyat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Adiyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Adiyat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



