Surah Al Isra aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنَّ الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِالْآخِرَةِ أَعْتَدْنَا لَهُمْ عَذَابًا أَلِيمًا﴾
[ الإسراء: 10]
Na yakwamba wale wasio iamini Akhera tumewaandalia adhabu chungu.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that those who do not believe in the Hereafter - We have prepared for them a painful punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na yakwamba wale wasio iamini Akhera tumewaandalia adhabu chungu.
Na hakika wale ambao hawaiamini Akhera tumewatengenezea adhabu ya machungu makali.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Jee huwaoni wale wanao dai kuwa ati wametakasika? Bali Mwenyezi Mungu humtakasa amtakaye. Na hawatadhulumiwa
- Akasema Firauni: Ikiwa umekuja na Ishara, basi ilete ukiwa ni katika wasemao kweli.
- Akasema: Hao wapo nyuma yangu wananifuatia. Na nimefanya haraka kukujia, Mola wangu Mlezi, ili uridhike.
- Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
- Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
- Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
- Na ni vya Mwenyezi Mungu tu vyote vilivyo fichikana katika ardhi na mbingu, na mambo
- Anaye yafanyia upofu maneno ya Rahmani tunamwekea Shet'ani kuwa ndiye rafiki yake.
- Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,
- Walio kufuru wanadai kuwa hawatafufuliwa. Sema: Kwani? Naapa kwa Mola wangu Mlezi! Hapana shaka mtafufuliwa,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers