Surah Al Isra aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَنَّ الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِالْآخِرَةِ أَعْتَدْنَا لَهُمْ عَذَابًا أَلِيمًا﴾
[ الإسراء: 10]
Na yakwamba wale wasio iamini Akhera tumewaandalia adhabu chungu.
Surah Al-Isra in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And that those who do not believe in the Hereafter - We have prepared for them a painful punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na yakwamba wale wasio iamini Akhera tumewaandalia adhabu chungu.
Na hakika wale ambao hawaiamini Akhera tumewatengenezea adhabu ya machungu makali.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi hukumu ya Mola wetu Mlezi imekwisha tuthibitikia. Hakika bila ya shaka tutaonja tu adhabu.
- Akasema: Nitampataje mwana hali mwanaadamu yeyote hajanigusa, wala mimi si kahaba?
- Na tumezilinda na kila shetani afukuzwaye.
- Na milima akaisimamisha,
- Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
- Anaye mkataa Mwenyezi Mungu baada ya kuamini kwake - isipo kuwa aliye lazimishwa na hali
- Na wala huyu mwenzenu hana wazimu.
- Basi leo nafsi yoyote haitadhulumiwa kitu, wala hamtalipwa ila yale mliyo kuwa mkiyatenda.
- Sema: Enyi mlio Mayahudi! Ikiwa nyinyi mnadai kuwa ni vipenzi vya Mwenyezi Mungu pasipo kuwa
- Hakika wale walio amini na wakatenda mema - hakika Sisi hatupotezi ujira wa anaye tenda
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers